Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayesimamia masuala ya Afrika Mashariki Mhe. James Millya (Mb) akizungumzia kuhusu uzinduzi wa safari za anga za Shirika la Ndege la Brussels Airlines kati ya Brussels, Ubelgiji na KIA, Tanzania.